Tuesday, September 28, 2010

Wyclef Jean hoi kwa stress alazwa..

Rapa Wyclef Jean amelazwa baada ya kuugua ghafla ugonjwa wa msongo wa mawazo .

 lilazwa na kuachiliwa katika hospitali moja ikiwa ni siku chache baada ya kuondolewa katika kinyang”anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa nchi aliyozaliwa ya Haiti .
Jean aliondolewa katika mpango huo mwezi agosti mwaka huu baada ya wanasheria kusema kuwa hana vigezo kushiriki katika uchaguzi kutokana na kushindwa kufikia matakwa muhimu yanayohusu uraia wake .

Karibuni bongo land...

Wakali hawa walienda kuiwakilisha HIPHOP ya bongo kiwanja twenty 4 seven yawakaribisha..

Kama dakika 10 zilizopita Fid Q amerudi kutoka USA alikoenda takribani miezi kadhaa. Mnyamwezi amefika salama na pichani hapo ni alivyokuwa anaondoka kuelekea Airport ya USA.

PROF JAY AKAMILISHA TOUR YAKE NA SASA IS BACK HOME.

Shukrani sana watu wangu wote wa USA Ziara yangu imekamilika salama bila matatizo yeyote, asanteni Sana kwa kunipokea vizuri na kuifanya Ndoto yangu itimie..mungu awabariki sana TUTAONANA AKIPENDA.. TANZANIA NARUDI NYUMBANI!!!
MUHIMU:nimecopy & kupest-www.djchoka.blogspot.com