Tuesday, July 27, 2010

LEAKED INVITATION PIC* T.I. & Tiny's Wedding Is Going Down In Miami NEXT WEEKEND!

T.I. pamoja na girlfriend wake wa muda mrefu Tiny's inadaiwa wapepnga kuchapishana pete za ndoa July 31st in Miami.
Na rangi za harusi hiyo itakuwa ni "platinum" and black. Harusi hiyo ambayo mipango yake ni siri sana inatarajiwa kuhudhuliwa na mastaa kibao akiwemo group mate wa Tinys Kandi Burruss
hii ni INVITATION card  ya harusi hiyo imeleak kitaaa

Wednesday, July 21, 2010

chek swagga mpyaa....

jamie foxx
duh!sijui ndo swagga mpya ,siunacheki mwenyewe kichwa cha mkali katika mziki na movie jamie foxx alivyo zichapisha hizo tatoo..ili swagga hii iwe on haitakiwi nywele ziote.

Friday, July 16, 2010

Week-end njema..

huku iringani kuna baridi kwasasa dizani ni msimu wake ndomaana swagg za vitu vizito zipo on,hapa nimekosa grovs kwa mikono..week-end njema taratibu huko tuendako jamani tujarifu kumfupisha bata tunayemla asiwe mrefu sana....

Wednesday, July 14, 2010

Hii ndo barua iliochapishwa na Lil weezy kwa mafanc wake "kutoka jela..


Hello world… I’m good. Siku zinaenda na nina furaha ,sehemu kubwa na furaha yangu inakuja kutokana na kusikia sauti za watoto wangu ambao nazungumza mara kwa mara na furaha nyingine inakuja kwa kuwa Napata mail kutoka kwa mafans wakinifariji .
Najihisi nina mafans wa kweli katika hii dunia kwa kuwa bado wananisapport na wananipenda nawengine huniombea pia,sikuwahi kufikilia kama nina maana kubwa kwa watu ila sasa nimejua nawaahidi kuwa makini sana nikitoka
Weezy anasema amekwisha kuandika ngoma kali na amekuwa akisikiliza radio na kusikia ngoma mpya anasema nyingine anazipenda nikali lakini najivunia mafanikio wanayoyapata kundi langu la young money na wala sishangai kwani ndivyo inavyotakiwa kufanya.
Nampongeza Drake na Nicki kwa mafanikio wanayoyapata
Lil wyne anasema akiwa jela anaamuka mida kama ya saa5 asubui hivi nachapisha kitu chakahawa kasha naenda kwenye simu kuzungumza na watoto wangu na mama yangu kasha nasoma fan mail na soma vitabu naandika idea na kasha kabla sijalala nasoma bible hivyo ndivyo siku yangu inavyo isha
Tunechi.

Tuesday, July 13, 2010

The-dream & Christina Milian

Christina Milian na The-Dream wameachana rasmi mara baada yakukaa pamoja kwa mwakammoja .
The dream anasema walikuwa wamekwisha kuachana tangu mwaka jana baada ya uhusiano wao kuwa hauna mafanikio ila waliamua kufanya privete ili kumlinda motto wao Violet aliyezaliwa miezi mitano iliyopita .
Christina Milian na The-Dream katika moja ya picha wakati wa ndoa yao.sasa kila mmojakashika zake...

Celebrities bila makeup----inawezekana!

beyonce hapa akiwa ajatia chochote usoni mwake
 ..
alicia keys-bila makeup
mama wawili naye akiwa hajapiga kitu cha makeup (jlo)
kutana na opral akiwa ametoka kuamka ,
celebrity bila makeup inawezekna kama vivi wazichunie mbona wanapendeza!au macho yangu?

Friday, July 9, 2010

Im back building...

JML kutoka HOT FM&JREE
nikuwa kimya kidogo upande huu ilikusem upande wa pili mambo yaende fresh ,thanx god kila kitu kiko poa ...back again..

One love..

Yakii & jree
dah ebwanae picha hii siku zimepita ....leo nilikuwa nachek chek facebook nikakutna na hii picha kwenye photos za yakii ,dah hiii ilikuwa ni Tumaini unvst kulikuwa na parfomance flani....