Thursday, February 25, 2010

50" KUPUNGUZA UZITO ILI AFANYE MOVIE.

Kutokana na nafasi atakayo cheza 50 katika movie hiyo ya "Things Fall Apart" inalazimika apunguze uzito kwa kiasi cha kilo 30 na hii ni kwa mujibu wa produce wa movie hiyo Randall Emmett na tayari 50 cent amekubali kufanya hivyo na movie itaanza kufanyiwa shooting Michigan mwezi May tarehe 10

Tuesday, February 23, 2010

BLUE 3 MATATANI.

Wasanii wawili kutoka kwenye kundi la Blu3 wameamua kufanya kazi kila mmjoja kivyake
na tayari mmoja ya wanakundi hao Jackie Chandiru amekwisha fanya track kama solo artist inayoitwa, , ''Agassi'' ngoma ambayo imetengenezwa na Benon katika studio za Swangs Ave Studios na imeimbwa katika lugha mbili (Lugbara) na kiingereza .

wakati member mwingine wa kundi Lilian ambaye anahusishwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii wa goodlife Weasal (wa kundi la goodlife)ameisha tengeneza ngoma inayoitwa “Vitamin''. ambayo ameimba kwa lugha ya The Luganda na sehemu nyingine ya ngoma hiyo ameimba kwa kiingereza na nyimbo hiyo imetungwa na Moses Radio na imetengenezwa na produce Washington.

JLO KUWA CHINI YA DEF JAM.

Baada ya kufanya kazi chini ya Epic Records kupitia label ya Sony Music Label Group kwa muda wa miaka 11 Jennifer Lopez ameamua kuachana na label hiyo na sasa atakuwa chini ya  label ya Def Jam,ambayo inamiliki wasanii kama Mariah Carey, Rihanna, na Kanye West


manage wa Jlo Benny Medina amethibitisha issue hiyo na amesema hakuna chochote kibaya kilicho mfanya Jlo kuondoka katika label hiyo bali ameamua kubadilisha mazingira.Project ya mwisho ya J lo Epic Record kuisimamia ni hii albam ya sasa” love.

Monday, February 22, 2010

JAY Z'OBAMA ANAPENDA HIP HOP'

Jamaa anaamini prezda Barack Obama anapenda hip hop aliyasema hayo wakati akifanyiwa interview na mwandishi wa BBC Jonathan Ross,Jay Z Amesema mara ya mwisho alimpigia simu Obama akiwa gym akasikia akisikiliza albam yake ya Blueprint.pia jamaa akasema sio tu yupo kwenye list ya wasanii anaowapenda Obama lakini pia anayo number yake ya mkoni, namara kadhaa Obama amekuwa akimualika Jay Z White House.lakini jigga akasisitiza kuwa yeye pia ni fanc mkubwa wa barack Obama na ndomaana akafanya remix ya MY PRESIDENT IS BLACK.

Tuesday, February 16, 2010

WEEZY AFANYA VIDEO 4 NDANI YA ONE WEEK.


Wakati jamaa anajianda kwenda kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela ametengeneza video 4 ndani ya wiki iliyopita na kukamilisha idadi ya video 9 ambapo tano zingine alikuwa amekwisha kuzifanya video hizo zinatarajiwa kuachiwa wakati jamaa yupo jela.
Ngoma ambazo weezy amezitengenezea video amesema zinatoka katika [We Are Young Money compilation] album, na nyingine kwenye albam yake ya nne ya Tha Carter IV na ngoma nyingine inatoka kwenye albam yake ya Rock . Rebirth
Katika video hizo pia kuna ngoma inayoitwa "Inkredible,"ambayo amefanya na Rick ROSS..Kaa tayari jamaa kajipanga.

Sunday, February 14, 2010

VALENTINE DAY NJEMA.

Twenty 4 seven inakuopa zawadi ya maua haya ikiwa ni ishara ya upendo kwako katika siku hii ya valentine...PA1

CHEK ILIVYOKUWA CLUB VIP ..

kushoto-the man im self + mdau na Bonny sly 2kishow lov club VIP
Ney wamitego kazini club vip
 
 sqeezer  sio siri alitutendea haki kwa bonge la show tulio fika club vip ijumaa.
the man im self +geez mabov (one love)

sqeezer na geez mabov pamoja hakuna bif tena
mafanc waliofika club vip ijumaa kutoa saport kwa wana

Thursday, February 11, 2010

SQEEZER + GEEZ MABOVU = PIC WEEK-END HII.

licha kuwa sqeezer na geez mabovu kuwa nabifu la muda mrefu sasa week end hii inatarajiwa kuwa mwisho wa bifu hilo baada ya Ebony ENT kuwapatanisha katika stege tatu tofauti na baada ya hapo mafans watasema nani mkali na amani iendelee kati yao.ijumaa hii itakuwa ni ndani ya club VIP wakali hao wa HIPHOP watapiga show kisha jumamosi watakuwa inje pembezoni mwa mji wa iringa ILULA na jumapili yani valentine itakuwa ni zamu ya Ebony shimoni club mafinga ...

Wednesday, February 10, 2010

KIFUNGO CHA LIL WEEZY CHASOGEZWA MBELE.

kifungo cha mchizi ambacho kilikuwa kianze jana feb 9 sasa kimesogezwa mbele na ataanza kutumikia kifungo hicho kuanzia march 2 baada ya mwnasheria wa weezy Stacey Richman aliiomba mahakama impe mteja wake muda wa siku kumi kuanzia ijumaa ili aweze kufanyiwa oparetion ya mano na mahakama ikakubali ombi hilo
weeezy anatarajia kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kupatika na tuhuma ya kutumia siraha kinyume na sheria hiyo jana weezy alihudhuria mahakani akiwa ameongoza na mabosi wa cash money Birdman and Slim kabla ya kuingia mahakamani lil wyne alisikika akiwaambia mafans wake “ I really, really, really truly love you. Thank you from the bottom [of my heart”

Thursday, February 4, 2010

SHOW LOVE 2010.

kushoto-mwalubadu,JML&The man im self

SHAKIRA&KEYS SHAVU KWENYE BASKETBALL.

Alicia Keys and Shakira watapiga show February 14 katika mchezo wa basketball utakao shirikisha NBA All Star Game kwenye uwanja wa Cowboys Stadium in Arlington, Texas.
kwamujibu wa maoffisa wa NBA wamesema Keys and Shakira wataparform katika mchezo huo wkati wa mapumziko wasanii hao wakike wameungana na Usher Raymond ambaye atafanya show wakati wa utambulisho kwa wachezaji
mchezo huo umekuwa gumzo sehemu tofauti hasa katika vitongoji vya Texas
mchezo huo utarushwa na TNT, February 14, 2010 from Cowboys Stadium in Arlington, Texas.
Alicia keys

Wednesday, February 3, 2010

MASUPERSTAR KIBAO NDANI YA TRACK 1"we a the world"

Baada ya miaka 25 kupita tangu kuimbwa kwa original ya wimbo wa kihistoria  “We Are the World”J3 hii masuper star zaidi ya 75 walikutana kwa ajili ya kuimba upya wimbo huo ndani ya Henson RecordingStudiosin Hollywood.
track hiyo ilioandikwa na Lionel Richie pamoja na marehemu Michael Jackson mwaka 1985 this tym wameipa jina la “We Are the World – 25 for Haiti,” ikiwa na lengo la kuwafaidisha waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea hivi karibuni nchini Haiti
wasanii walioshiki katika tukio hilo la kihistoria ni pamoja na Lil Wayne (redoing Bob Dylan’s verse), Kanye West, Jennifer Hudson, Trey Songz, Drake, Barbra Streisand, Toni Braxton, Snoop Dogg, Usher, Pink, Jamie Foxx, T-Pain, Keri Hilson, Brandy, Robin Thicke, Miley Cyrus, Busta Rhymes, Nicole Scherzinger, Akon, Tony Bennett, Carlos Santana, and many others.

akon&brandy
jennfer hadson 7& jordan spacks
hivyo ilivyo kuwa wakati wa kufanya recording ya "we are the world"