Tuesday, November 9, 2010

Mtisiko(Bata mrefuuuuuuuuuu)ilivyokuwa mbeya..


Dj Mubbaaaaaaaaaaaa nipe.......e...hah hah hha,mbeya mtamalizia bana simnakumbuka JB wa mabaga freshi ambaye kwa sasa yupo na wanaume halisi alivyokuwa anamuomba dj muba ampeeeee......e? hah hah

Vijana fungeni mikanda,fungeni mikanda" hawa jamaa bwana niwanoma aisee (Chegge & Temba) walichapisha mbaaaaaaaaaya...

Roma aliamsha sio padogo aiseee....

3 bira,3 bira,3 bira...hahh hah hah jamaa wakati anavunja hapo kati, mashabiki wakawa wanampa moto kwa kusema 3 bira...

Wanaume halisi si ndo hawa sasaaaaa?

jumamosi ya week hiii itakuwa zamu ya iringa toun..copy+paste KIDUCHU.blogspot.com

Friday, November 5, 2010

Bata mrefuu nov 6 mbeya maandalizi yapo pwaaa..

maandalizi ya bata mrefuu mbeya sokoine stedium  hiyo ni stege tu inafungwa


Robby, Allen & Hatya duu wanashangaa stege inavyopanda hewani.bata mrefuuuuuuuuu.

ni nourma


Dj Dulla,Mwalubadu,Greyson wa bomba fm mbeya na Allen hawa wapo pande za mambeyani
MUHIMU:Copy +pest kutoka kwa KIDUCHU.BLOGSPOT.COM

Tuesday, November 2, 2010

bonge la show kusini mwa Tanzania.


weasel na radio watapiga show tarehe 13
nov katika uwanja wa samora kwenye mtikisiko (bata mrefuuuu)

IZZO B

Chege & Temba
mtikisiko bata mrefuuuu utaanzia mbeya 94.7 (ebony fm) tarehe 6 nov  atadondoka pia linah,barnaba,Roma,Linex,Twanga pepeta.siyakukosa kula bata mrefuuu

Mwanaharakati wa HIPHOP anayeingia mjengoni Dodoma!




Mr SUGU Joseph Mbilinyi Mbunge Mteule Mbeya mjini. Majimbo yaliyochukuliwa na wapinzania wa CCM

1.Musoma mjini - Vincent Nyerere- CHADEMA 2.Iringa mjini - Mch. Peter Msigwa- CHADEMA 3.Lindi mjini - Salum Halfani Barwani- CUF 4.Arusha mjini- Godbless Lema - CHADEMA 5.Mwanza Nyamagana- Hezekiah Wenje - CHADEMA 6.Moshi Mjini- Philemon Ndesamburo - CHADEMA 7.Maswa Magharibi- John Shibuda- CHADEMA 8.Maswa Mashariki- Silverster Kasulumbayi- CHADEMA 9.Ukerewe - Salvatory Naluyege- CHADEMA 10.Biharamulo - Dr. Mbasa - CHADEMA 11.Ilemela - Haines Samson- CHADEMA 12.Meatu- Meshack Opulukwa- CHADEMA 13.Kigoma Kaskazini- Zitto Kabwe- CHADEMA 14.Mbeya mjini - Joseph Mbilinyi - CHADEMA 15.Hai Kilimanjaro- Freeman Mbowe - CHADEMA 16.Vunjo - Augustino Lyatonga - TLP

17. Kasulu vijijini - Zaituni Buyogera - NCCR Mageuzi

18. Kasulu Mjini - Michael John - NCCR Mageuzi http://www.mwananchi.co.tz/

Hii ni brazil sio CHADEMA jameni..



Rais wa kwanza mwanamke NCHINI brazil Dilma Rousseff ambaye ameshinda kwa asilimia  55.8%ya  kura zilizopigwa nchini humo siku ya jumapili na amechukua nafasi ya President Luiz Inacio Lula da Silva.

Tuesday, September 28, 2010

Wyclef Jean hoi kwa stress alazwa..

Rapa Wyclef Jean amelazwa baada ya kuugua ghafla ugonjwa wa msongo wa mawazo .

 lilazwa na kuachiliwa katika hospitali moja ikiwa ni siku chache baada ya kuondolewa katika kinyang”anyiro cha kuwania nafasi ya urais wa nchi aliyozaliwa ya Haiti .
Jean aliondolewa katika mpango huo mwezi agosti mwaka huu baada ya wanasheria kusema kuwa hana vigezo kushiriki katika uchaguzi kutokana na kushindwa kufikia matakwa muhimu yanayohusu uraia wake .

Karibuni bongo land...

Wakali hawa walienda kuiwakilisha HIPHOP ya bongo kiwanja twenty 4 seven yawakaribisha..

Kama dakika 10 zilizopita Fid Q amerudi kutoka USA alikoenda takribani miezi kadhaa. Mnyamwezi amefika salama na pichani hapo ni alivyokuwa anaondoka kuelekea Airport ya USA.

PROF JAY AKAMILISHA TOUR YAKE NA SASA IS BACK HOME.

Shukrani sana watu wangu wote wa USA Ziara yangu imekamilika salama bila matatizo yeyote, asanteni Sana kwa kunipokea vizuri na kuifanya Ndoto yangu itimie..mungu awabariki sana TUTAONANA AKIPENDA.. TANZANIA NARUDI NYUMBANI!!!
MUHIMU:nimecopy & kupest-www.djchoka.blogspot.com

Thursday, August 12, 2010

Vituko vya gaga...

duuuuuuuuuuu.lady gaga +mafanc

baada ya kuji-overdoze na kukimbizwa hospital;Fantasia's 911 Call Leaked [Audio]

While blogs still bubble from news of Fantasia's recent overdose, TMZ obtained audio of the 911 call that may have saved the American Idol star's life.
The caller calmly explained to the 911 operator that Fantasia had swallowed an entire bottle of aspirin and was slowly losing consciousness. The caller also stated that Fantasia's family had guided her to the shower in hopes of regaining stability. However, the call was quickly instructed to remove 'Tasia from the shower.
UPDATE:kwasa amearuhusiwa kutoka hospital mara baada ya kulazwa kwa siku mbili baada ya kujichapiiiiisha madawa (asplin)

Tuesday, July 27, 2010

LEAKED INVITATION PIC* T.I. & Tiny's Wedding Is Going Down In Miami NEXT WEEKEND!

T.I. pamoja na girlfriend wake wa muda mrefu Tiny's inadaiwa wapepnga kuchapishana pete za ndoa July 31st in Miami.
Na rangi za harusi hiyo itakuwa ni "platinum" and black. Harusi hiyo ambayo mipango yake ni siri sana inatarajiwa kuhudhuliwa na mastaa kibao akiwemo group mate wa Tinys Kandi Burruss
hii ni INVITATION card  ya harusi hiyo imeleak kitaaa

Wednesday, July 21, 2010

chek swagga mpyaa....

jamie foxx
duh!sijui ndo swagga mpya ,siunacheki mwenyewe kichwa cha mkali katika mziki na movie jamie foxx alivyo zichapisha hizo tatoo..ili swagga hii iwe on haitakiwi nywele ziote.

Friday, July 16, 2010

Week-end njema..

huku iringani kuna baridi kwasasa dizani ni msimu wake ndomaana swagg za vitu vizito zipo on,hapa nimekosa grovs kwa mikono..week-end njema taratibu huko tuendako jamani tujarifu kumfupisha bata tunayemla asiwe mrefu sana....

Wednesday, July 14, 2010

Hii ndo barua iliochapishwa na Lil weezy kwa mafanc wake "kutoka jela..


Hello world… I’m good. Siku zinaenda na nina furaha ,sehemu kubwa na furaha yangu inakuja kutokana na kusikia sauti za watoto wangu ambao nazungumza mara kwa mara na furaha nyingine inakuja kwa kuwa Napata mail kutoka kwa mafans wakinifariji .
Najihisi nina mafans wa kweli katika hii dunia kwa kuwa bado wananisapport na wananipenda nawengine huniombea pia,sikuwahi kufikilia kama nina maana kubwa kwa watu ila sasa nimejua nawaahidi kuwa makini sana nikitoka
Weezy anasema amekwisha kuandika ngoma kali na amekuwa akisikiliza radio na kusikia ngoma mpya anasema nyingine anazipenda nikali lakini najivunia mafanikio wanayoyapata kundi langu la young money na wala sishangai kwani ndivyo inavyotakiwa kufanya.
Nampongeza Drake na Nicki kwa mafanikio wanayoyapata
Lil wyne anasema akiwa jela anaamuka mida kama ya saa5 asubui hivi nachapisha kitu chakahawa kasha naenda kwenye simu kuzungumza na watoto wangu na mama yangu kasha nasoma fan mail na soma vitabu naandika idea na kasha kabla sijalala nasoma bible hivyo ndivyo siku yangu inavyo isha
Tunechi.

Tuesday, July 13, 2010

The-dream & Christina Milian

Christina Milian na The-Dream wameachana rasmi mara baada yakukaa pamoja kwa mwakammoja .
The dream anasema walikuwa wamekwisha kuachana tangu mwaka jana baada ya uhusiano wao kuwa hauna mafanikio ila waliamua kufanya privete ili kumlinda motto wao Violet aliyezaliwa miezi mitano iliyopita .
Christina Milian na The-Dream katika moja ya picha wakati wa ndoa yao.sasa kila mmojakashika zake...

Celebrities bila makeup----inawezekana!

beyonce hapa akiwa ajatia chochote usoni mwake
 ..
alicia keys-bila makeup
mama wawili naye akiwa hajapiga kitu cha makeup (jlo)
kutana na opral akiwa ametoka kuamka ,
celebrity bila makeup inawezekna kama vivi wazichunie mbona wanapendeza!au macho yangu?

Friday, July 9, 2010

Im back building...

JML kutoka HOT FM&JREE
nikuwa kimya kidogo upande huu ilikusem upande wa pili mambo yaende fresh ,thanx god kila kitu kiko poa ...back again..

One love..

Yakii & jree
dah ebwanae picha hii siku zimepita ....leo nilikuwa nachek chek facebook nikakutna na hii picha kwenye photos za yakii ,dah hiii ilikuwa ni Tumaini unvst kulikuwa na parfomance flani....

Monday, June 14, 2010

Ebony fm;Part ya kutimiza miaka minne.

baadhi ya wafanyakazi wa ebony kushoto ibrahim issa,sag,glory pele,allen philipo bog,mwalubadu,mallegesi aka jembe na hatya omary -utambulisho ukiedelea.
pia nilikuwepo hapo kwapembeni ni Ne-mo
bony sly na judith mzuri kwao
mambo ya staili kutoka south afrika
mambo ya kitu kitamu

tarehe 29 -5 Ebony fm 2lienda chimala mbeya kucheza match chek kidogo ilivyo kuwa..


baada ya game watu bata mrefu akaanza kunyonyolewa kama unavyo ona-kulia ney wa mitego ,jema,bahati alex and the man am self.
safari ya kwenda chimala mbeya ndani gari
kikosi kilicheza na watuma salam chimala wiki mbili zilizopita
pasha misuri
bata baada ya gametata

Friday, May 28, 2010

Guess who’s back..dabrat beiiibi.

dabrat ameachiwa huru kwa muda kutoka jela ambako aliukumiwa miaka mitatu baada ya kumpiga muudumu wa nightclub kichwani Atlanta nchini marekani 2007
Da brat ameachiwa kupitia program ya work release ambapo anatakiwa kufanya kazi zake akimaliza kufanya kazi atarudi jela kumalizia kifungo chake
Dabrat kwasasa anasema amejipanga kurudi katika game kwa kuja mixtape mpya pamoja na albam na mipango yote hiyo anaipanga akiwa na Jermaine Dupri ambaye ndiye anayesimamamia kazi zake kwa sasa, na anasema anafanya kazi kwa masaa mengi zaidi ili project hizo zimalizike kwa wakati kwakuwa atatakiwa kurudi jela japo ajaweka wazi ni lini atarudi huko...

Huyu ndo 50 cent mpya,baada yakupunguza uzito..

 

yote hii ni kutokana na kazi ya kurekodi filamu " Things Fall Apart"ambayo ilimlazimu kupunguza uzito aliokuwa nao,kwenye movie hiyo amecheza kama mwanasoka ambaye ana ugonjwa wa kansa .
50 Cent amepunguza uzito zaidi ya paundi 160 kutoka uzito aliokuwa nao awali wa paundi 214 kwa kutumia vyakula vya majimaji tu huku akiwa na zoezi la kutembea masaa matatu kila siku kwa mguu.
50 Cent  amezindua ziara yake kimuziki ijumaa hii katika jimbo la Cleveland amesema ameanza kula hivyo anatarajia kurudi katika shape yake ya zamani.

Wednesday, May 26, 2010

Gaga akili kutumia drugs.

Lady Gaga  kaweka wazi kuwa anatumia madawa ya kulevya tangu zamani lakini kwa sasa anatumia mara moja moja na anaamini kwa maramoja madawa hayawezi kumuuwa mtu yeyote


Mwanadada huyo anasema amekuwa amekuwa akitumia madawa pindi anapojisikia kuiburudisha nafsi yake lakini kwasasa havuti bangi labda sigara kidogo na kilevi chake kikubwa ni whisky,,saivi anadai hataki kutumia sana vilevi ili asiaribu sauti yake ambayo inampa kula..

Nas, Kelis Officially Divorced But, No Custody Order ..

Ndoa kati ya rapa Nas na mwimbaji wa muziki wa R&B Kelis imevunjika rasmi mbele ya jaji wa Los Angeles ijumaa iliyopita katika mahakama ya juu ya Los Angeles huku masuala mbalimbali yakibaki bila kutatuliwa likiwemo suala zima la gharama za matunzo ya mtoto ambazo Nas alitakiwa kumlipa Kelis

Nas na Kelis walifunga ndoa mwaka 2005 na sherehe kufanyika huko Atlanta ni baada ya kukaa katika mahusiano kwa kipindi cha miaka miwili na mwaka 2009 Kelis akafungua mashtaka kutaka talaka kutokana na kutoelewana baina yao jambo ambalo Nas alilipinga akitaka kwanza mtoto wao mdogo azaliwe na hata kipindi hiki ambacho shauri la talaka likiwa mahakamani Kelis alikuwa akimkatalia Nas kuja kumuona mtoto wake