Tuesday, November 2, 2010

bonge la show kusini mwa Tanzania.


weasel na radio watapiga show tarehe 13
nov katika uwanja wa samora kwenye mtikisiko (bata mrefuuuu)

IZZO B

Chege & Temba
mtikisiko bata mrefuuuu utaanzia mbeya 94.7 (ebony fm) tarehe 6 nov  atadondoka pia linah,barnaba,Roma,Linex,Twanga pepeta.siyakukosa kula bata mrefuuu

No comments: