Tuesday, July 13, 2010

The-dream & Christina Milian

Christina Milian na The-Dream wameachana rasmi mara baada yakukaa pamoja kwa mwakammoja .
The dream anasema walikuwa wamekwisha kuachana tangu mwaka jana baada ya uhusiano wao kuwa hauna mafanikio ila waliamua kufanya privete ili kumlinda motto wao Violet aliyezaliwa miezi mitano iliyopita .
Christina Milian na The-Dream katika moja ya picha wakati wa ndoa yao.sasa kila mmojakashika zake...

No comments: