Tuesday, January 5, 2010

PIA TULIPIGA TOUR UWANJA WA NDEGE WA KIA(KILIMANJARO)

Hapa crew nzima tukiingia katika uwanza wa ndege wa kimataifa uliopo mkoani kilimanjaro--KIA-

Kiongozi wa tour hii tulioifanya Edwin bashir akituonesha njia kushoto--bahati alex

Huyu ndio anayeipa uhai twendy 4 seven nikibadilishana mawazo na Hatiya Omary wakati wa kuingia KIA

Kilichonivutia KIA nieneo hili wanapaiita tower eneo ambalo hutumika kuwasiliana na marubani na kuwapa maelekezo.

Edwin bashir akifatilia maelekezo kwa makini aliyokuwa akipewa na mwenyeji wetu pale KIA..

Baada ya kumaliza kutembelea KIA..sasa twasepaa.

No comments: