Thursday, October 29, 2009

AMETISHA...


Jamaa anatarajia kufanya bonge la tour ivi karibuni ambayo ameiita "Fan Appreciation Tour" ataifanya mara baada ya kuachia albam yake ya tatu inayoitwa Graffiti ambayo ana release December 15 ndani ya New York city,albam ambayo ina hit single kama "Crawl...chris brown amesema asilimia kubwa ya pesa atakazo zipata katika tour hiyo zitatumika kuwapa msaada watu wanao ishi na matatizo....ndomana nasema mchizi ametisha..

No comments: