Wednesday, December 9, 2009

JAY-Z,50 CENT & NAS KATIKA NGOMA 1..


licha ya kuwa jamaa hawa wanabifu za hapa napale lakini kwa mujibu wa BET.com wazeeiya wanatarajia kufanya ngoma ya pamoja for the first tym na ngoma hiyo ni remix ya track ya Jay z  inayofa fanya vizuri kwenye bilboad chart amboyo amefanya alicia keys"Empire State of Mind".bado hajafahamika ngoma hiyo itatoka lini lakini wengi wameonekana kuisubilia kwa hamu,kwakuwa kihistoria Nas na Jigga wanabifu....lakini pia 50 na NAS bado wanahusishwa kuwa nabifu kutokana na 50 cent kushiriki katika ngoma "Piggy Bank," iliokuwa ikimdiss NAS iliojumuisha wasanii wa  Aftermath ambayo ilitoka 2005.

No comments: