Monday, December 14, 2009

TRE-DREAM & CHRISTIANA MILIAN WAFUNGA NDOA..


super star wa r&b Christina Milian and The-Dream hatimaye  wafunga ndoa huko las vegas marekani na kisha wakaenda kumalizia furaha yao katika mji wa Roma Italy...japo kuwa ndoa ya wawili hao ilikuwa ya kimya kimya lakini tayari picha zimekwisha kusambaa kwenye mitandao...hapo mwanzo wawili hawa ilisemekana walifunga ndoa ya siri sept mwaka huu lakini haikua hivyo,nainasemekana wanatarajia kupata mtoto hivi karibuni..

No comments: