Monday, December 14, 2009

RICK ROSS APONDA GRAMMY AWARD....


Mkali huyu wa  HIPHOP amepinga vikali albam yake ya ''Deeper Than Rap''kuto kuwa nominated kwenye Grammy Award kama albam bora ya msimu huu.na ameponda mpangilio mzima uliotumika mpaka kupata wanaogomea award hizo.alipo ulizwa na moja ya kituo cha radio huko atranta '''anafikiria nini kuhusiana na grammy award '''I think they all haters na kusisitiza'' albam yangu ni kali na na saamini kama watu hamajui albam nikali ila nazani kuna kitu fulani kimefanyika..

No comments: