Sunday, April 4, 2010

LEO SAMORA..

moja ya burudani zitakazo kuepo leo katika viwanja vya samora
stage itakayotumika kwa show kutoka kwa AWILO PETRO kutoka mkoani mbeya jamaa ni mkali katika ngoma fulani za asili ,pia atakuepo mwanadada ZUHURA pamoja na NE-MO...Lakini piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiia kutakuwa na mech kali kati ya wafanyakazi wa EBONY FM  na IRINGA SALAAM CLUB..

No comments: