Tuesday, March 16, 2010

JIM JONES KUWATEACHER "NEW YORK CITY HIGH SKUL"

Diplomats rapper Jim Jones ameweka wazi kuwa kuanzia sasa ni wa limu New York City high school akifundisha muziki amesema kwake sio kazi ngumu sasa japo anatakiwa kusoma sasa kabla hajaingia kazini
The Dipset member amekubali kufundisha kwa muda wa wiki nne lakini hivi sasa bado hajanaanza kufundisha anachokifanya anareport kazini na kujifunnza baadhi ya vitu ambavyo atatakiwa kuanza kuvifanya na anasema anachosubili ni green light yani taa atakayomruhusu aanze kazi
Jones hajawi kupata kozi yeyote ya musiki kabla hivyo anahisi hiyo ni opffer kubwa kwake JONES alianza muziki tajgu akiwa mdogo na amepata mafanikio."katika muziki hivyo anamini kazi hiyo haiwezi kumshinda

No comments: