Thursday, November 19, 2009

JANET JACKSON"MICHAEL DRUGS NA YEYE KTK UHAI WAKE..


Janet jackson amekili kuwa BRO wake Michael Jackson alikuwa anatumia drugs na alijaribu kumshawishi achane na matumzi hayo ila ilishindikana, na amekili kuwa Michael ilifikia atua yakushindwa kunywa maji kutokan na matatumizi ya madawa Janet kasema hayo," ABC News in an interview on Wednesday.
Janet piiia maezungumzia upcoming diet book, "True You," ambacho kitazungumzia maisha halisi...lakini piiia new documentary film ya michael Jackson amesema itatoka hivi karibuni ambayo Michael aliianda last summer katika concert tour alizokuwa akizifanya..

2 comments:

Mzee wa Changamoto said...

Asante kwa kutushirikisha mkuu.
Blessings

Mzee wa Changamoto said...

Asante kwa kutushirikisha mkuu.
Blessings