Monday, November 16, 2009

KAMPUNI INAYO CREATE "AUTOTUNE" SASA KUITWA "ROBOTUNER"


Kampun ya Antares ambayo inatengeneza "autotune" na "iphone" wametangaza kubadilisha jina la kampuni hiyo kuwa "Robotuner" kwa lengo la kuboresha kampuni hiyo nakujizatiti ili wasiweze kuibiwa kutokana na hivi sasa kuonekana kuibiwa zaidi.....Program hizo ambazo zimejichukulia umaarufu mkubwa duniini na kupelekea maproduce wengi kuzituma....Artist ambayeye amezipa umaarufu ni T-PAIN kutoka nakutumia katika track zake hadi kupelekea watu kuziita T-PAIN lakini pia wengine twazijua kama VORKODA.. kwabongo(TZ) C PWAA huzitumiia zaidi....

No comments: