Thursday, November 19, 2009

T.I & TINY NDOA 2010..


Baada ya kurepotiwa siku maalum ya kuachiwa huru american hiphop star TI baada ya kukaa jela miezi mi5 sasa girlfriend wa mchizi huyo wa mda mrefu 'Tiny' amesema wameplane kufunga ndoa mwaka 2010...akizungumza na  XXL this month, Tiny amesema wameplane kufunga ndoa ya kifahari  2010 baada ya hiphop star TI kuachiwa huru.TI anatumikia kifungo cha mwaka mmoja tangu mwezi march baada ya kupatika na hatia ya matumizi ya silaha kinyume na sheria...

No comments: